

Farhan Jr
Automatically kama hauna Thadeo Lwanga pale kati that means unahitaji ngome ya Mkude na Mzamiru kisha ukicheza gamble ya Kanoute na Bwalya
Ila sitoshangaa sana kama Kanoute ataanza, tactically Makocha huwa hawabadiliki sana kutokana na kwamba partnership nyingi wanazifanyia mazoezi
Naiona Simba ikianza na Bernard Morrison pamoja na Hassan Dilunga HD, unahitaji kupunguza gap la Kibwana na Djuma Shabaan, automatically itapunguza idadi ya wachezaji wa Yanga
Yanga kwa kufahamu Simba kati mwa uwanja sio imara sana, itamchukua Nabi akili ya kawaida tu kuweka Watu watatu wenye uwezo wa kucheza
Lazima Bangala adetect tempo, Aucho atakuwa Game reader na Feisal atakuwa huru kusogea kwenye area 14, haswa kwa ajili ya second balls ambapo ana huo ubora
Kutokea kati Yanga watacheza pass nyingi kulifikia lango la Simba haswa ile changamoto ya Simba ni transition kutoka kushambulia kuja kujilinda, Yanga atatumia faida ya idadi kwa eneo
Naiona DERBY Bora sana siku ya leo, yenye mbinu na Ufundi mwingi sana!