Mpaka nikajiuliza ni mjomba kweli au Husna Muba? Kaiba simu...mjomba wangu mimi nipo Dec nimetulia japo huamini kabisa kule nilipokuona.
Mambo yanaendaje kaka
Mpaka nikajiuliza ni mjomba kweli au Husna Muba? Kaiba simu
Mjomba nilikuonya lakini kuwa mara kumi ungelikomaa na muuza mitumba kuliko yule ......ha hahahaha, huyu kanipa talaka sasa hivi nahangaika na dunia yangu mwenyewe tu yeye anakula raha, nalipia child support tu maana alienda ustawi wakanibana.
Bora wewe nyumba nyingi, hawajui wakushitakie nyumba ipi
Sema sasa wachawi wengi mtaani kwetu , hii dec mbona ya familia kabisa...ukifanikisha ule mpango kazi basi Dec hii utajilia vitu laini miguu juu yaani kula bata mawazo ya ada tupa kule. Ijumaa lazima tukutane tufanye mpango kazi
Kwa hiyo wewe uliona raha mm kuteseka vile mjombaa...yaani acha tu mjomba, asante kwa kunipa maneno mazuri ya kunifariji maana yeye ndo alikuwa tegemeo langu ila ukaniharibia
Sam Smiths Fire on Fire. An epic love story song
Such a lovely and powerful song indeed...Sam Smiths Fire on Fire. An epic love story song