Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
1986![]()
![]()
![]()
![]()
Raul utamjulia wapi Bibie kipindi unaosha vyombo Mimi Barcelona nimeanza ifuatilia mwaka 1986 kipind tunamsajil Maradona huo ndio mwanzo wa kuipenda Barca had hivi leo
YAISHE
1986![]()
![]()
![]()
![]()
Raul utamjulia wapi Bibie kipindi unaosha vyombo Mimi Barcelona nimeanza ifuatilia mwaka 1986 kipind tunamsajil Maradona huo ndio mwanzo wa kuipenda Barca had hivi leo
Mashabiki wa umbea FC mna usumbufu sanaa
Mi La liga naielewa sana......EPL Ligi yenye mvuto/upinzani(ukobet unaliwa)
La Liga ni Best League tatizo upinzani ni mdogo(ukibet unakula)
![]()
![]()
![]()
![]()
...........
Wekundu wa msimbazinyama Simbaaaaaa AgrrrriiiiiiiiiiMashabiki wa umbea FC mna usumbufu sanaa
Hujajibu swali.Kufa nilikokuzungumzia ni kufungwa![]()
Vyura mechi ya pili ushindi wanautafuta kwa tochi

Kama wameficha sukari mumtag makomeo
Binafs kabla siongei bila FactHujajibu swali.
Kiuhalisia kati ya Simba na Yanga ipi iliyokufa kibudu???
![]()
![]()
![]()
![]()
Mi La liga naielewa sana......
kwa hyo upo upande upi La Liga au Epl The domo leagueLa liga ipo very uniform huwe icompare na epl hata kidogo....timu zile zile la liga ndo zinashindaga na kuongoza ligi/kuchukua ubingwa kabisa tofaut na epl iwe timu ya mwisho au hata kama imepanda daraja inasumbua timu kubwa vile vile. Ligi kule spain timu inafungwa 10! Talena mchezaj mmoja anajifungia goli 5!
Hujajibu swali.
Kiuhalisia kati ya Simba na Yanga ipi iliyokufa kibudu???
![]()
![]()
![]()
![]()
Honestly speaking....Yanga hawajui kutumia viwanja vya nje naa mashabik pia hawajui umuhimu wao wanaposafir na timu....ndo maana wale wa Angola wangejizatiti wangerudisha goli zote
Mbumbumbu FC katika ubora wenuWekundu wa msimbazinyama Simbaaaaaa Agrrrriiiiiiiiii
kwa hyo upo upande upi La Liga au Epl The domo league
kwa hyo upo upande upi La Liga au Epl The domo league
Ama kweli ukipenda chongo utaita kengezaBinafs kabla siongei bila Fact
Simba mechi 2 zilizopita HAJAPOTEZA
Vyura mechi 2 zilizopita Ushindi kwa tochi![]()
![]()
![]()
Sasa nani kafariki kibudu
Kazi unayo, mi zote nafatilia ila La liga itaendelea kuwa bora tu hata kama New Castle watachukua kombe la mfalmeLa liga ipo very uniform huwe icompare na epl hata kidogo....timu zile zile la liga ndo zinashindaga na kuongoza ligi/kuchukua ubingwa kabisa tofaut na epl iwe timu ya mwisho au hata kama imepanda daraja inasumbua timu kubwa vile vile. Ligi kule spain timu inafungwa 10! Talena mchezaj mmoja anajifungia goli 5!
