Makapuku Forum

Farhan Jr

Wakati Rafa Benitez ni Kocha wa Real Madrid, aliwahi kumtuma Kocha wake Msaidizi ampelekee flash Cristiano Ronaldo atazame video za namna ya kuiba nafasi (Loose a maker)

Msaidizi wa Benitez baada ya kumkabidhi flash Ronaldo na kumpa hayo maelekezo, Ronaldo akamwambia subiri mara moja

Akaiweka flash kisha akarudi na kumwambia Msaidizi, "Nenda kamwambie Benitez kesho nitamletea flash ya magoli yangu kwa ajili ya yeye kujifunza namna ya kufundisha kuiba nafasi" akamaliza

Baadae Benitez alipokuja kutazama mabao ambayo Ronaldo anafunga, mengi yalikuwa ni kuiba nafasi na kuweka kambani (Loosing a Marker) ni akili kubwa mno

Leo tena bao lake la kwanza Old Trafford unaweza kuliona rahisi sana ila ni bao gumu sana kulifunga, akili kubwa sana! Ni muendelezo wa clip zake za LOOSING A MARKER, bila shaka Benitez anaendelea kujifunza

He is Cristiano Ronaldo The Animal.
 
Hawa bila pesa hawawezi kufanya kazi iliyowaleta
 
Halafu kingine jamani mapenzi matamuuuu
ukimpata anayekupenda jamani usimwachie mshikilie ukimwachia tu wenzio wanamdaka
mwisho wa siku akidakwa unabaki muimba taarabu

Nyieee jamani mapenzi matamuuu naenjoy mimi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…