Hahhaahha waniache mwenyewe popo nikeshe mwenyeweNimesoma unavyoandika nimecheka sana etinyie kama mnalala laleni tu
Hahhahaa tujichekee tu dear maisha ndio hayahayaAhsante Kipenzi
Wewe ndiyo umenileta. Kuna post yako hapo juu nimecheka...![]()
sijui huwa najikuta nani jamani
Hata me nilikuwa naogopa kumbe hamna kitu
Hahhahaa tujichekee tu dear maisha ndio hayahaya
Akili za jana hizo za chupa ya kijanisijui huwa najikuta nani jamani





Ameen dear
Chupa ya kijani tuipumzishe sasa Dyadya..
Mwisho wa mwaka huu ujue... tufanye Toba![]()

toba ni muhimu
Ndomana muda mwingine sio vizuri kuwakasirikia wanaotukatisha tamaaUNAAMBIWA
Mtangazaji maarufu wa Marekani Steve Harvey hununua zawadi ya TV kila mwaka na kumpelekea Mwalimu wake wa zamani ambaye aliwahi kumwambia kamwe hatokuja kuonekana kwenye TV.
Steve anasema Mwalimu alimwambia kauli hiyo akiwa mdogo baada ya kuwapa Wanafunzi maswali ya kutaka waeleze wanataka kufanya kazi gani ukubwani au wanataka kuwa nani.
Steve ambaye alikuwa na tatizo la kigugumizi kikali wakati huo aliandika anataka kuwa Mtangazaji mkubwa atakayeonekana kwenye TV lakini Mwalimu akamwambia hiyo ni ndoto na haitowezekana.
View attachment 1928206