Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Keep enjoying kishuna wa smartnaenjoy mimi jamani
Keep enjoying kishuna wa smartnaenjoy mimi jamani




Nyie hao ndio marafiki zangu jamani ndani ya jf na nje ya jf kama leo nimeenjoy tu kuongea na mzigua sana kwenye simu na sakayo tumepiga sana umbea 



We shuu nenda ndani ukampe smart mambo hukoSakayo
Mzigua90
reymage
Nyie hao ndio marafiki zangu jamani ndani ya jf na nje ya jf kama leo nimeenjoy tu kuongea na mzigua sana kwenye simu na sakayo tumepiga sana umbea
Basi wanafki wangu watawafata pm ila sakayo kafunga pm nawapa taarifa vitafika kama vilivyo na kama vinavyofikaga vingine mkienda![]()

Wapi tenaHujanijibu kule![]()
Selfika...Wapi tena
Okei ngoja niendeSelfika...
Hahahaahha!!!!!!yaani wewee lini umeanza ukorofiSakayo
Mzigua90
reymage
Nyie hao ndio marafiki zangu jamani ndani ya jf na nje ya jf kama leo nimeenjoy tu kuongea na mzigua sana kwenye simu na sakayo tumepiga sana umbea
Basi wanafki wangu watawafata pm ila sakayo kafunga pm nawapa taarifa vitafika kama vilivyo na kama vinavyofikaga vingine mkienda![]()
Hahaaaaa!!!!ushalewa wewe. Heineken eeehh
Hivi inawezekana nikawa nimelewa eti







Hata sijui jamaniHahahaahha!!!!!!yaani wewee lini umeanza ukorofi
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app




mwenzenu me rafiki zangu nikikwama watanisaidia wakikwama nitawasaidia yaani shida na raha tupo wote

Sasa una rafiki anakupenda kwa ajili ya kitu au vitu wa nini huyo
