Makapuku Forum

Makapuku Forum

Moses Phiri aifuata Yanga Dar
.
Msafara wa timu ya Zanaco wenye watu 30, akiwamo winga matata Moses Phiri unatua leo tayari kuwapa burudani mashabiki wa Yanga katika kilele cha tamasha la Siku ya Mwananchi linalofanyika kesho.
.
Phiri, mmoja ya wachezaji waliokuwa wakiwindwa na Yanga pamoja na wapinzani wao wa jadi, Simba, kabla ya dili lake kubuma, ni kati ya wachezaji 20 wa Zanaco wanaokuja na kikosi hicho kwa ajili ya mchezo wa kuhitimisha tamasha hilo la Yanga kwa kuvaana na wenyeji wao.
.
Hili pia ni kama pambano la kisasi baina ya timu hizo zitakazoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika kuwakilisha nchi zao. Zanaco imeitoa Yanga mara mbili katika michuano ya CAF mwaka 2006 na 2017.
Screenshot_20210828-092919_Instagram.jpg
 
CAF WOMENS CHAMPIONS LEAGUE - CECAFA 2021
.
PVP FC SIMBA SC
10:00 Jioni
Nyayo Stadium
.
Simba wana jambo lao katika michuano ya kimataifa ya wanawake ukanda wa CECAFA, Simba Queens wanakiwasha leo dhidi ya PVP FC ya Burundi.
.
Kila la Kheri Simba queensctz
Screenshot_20210828-093126_Instagram.jpg
 
Rio Ferdinand:


."Jana nadhani niliongea na Cristiano zaidi ya nilivyozungumza naye tangu alipoondoka Manchester United, kwa sms, kwa simu ikwa jioni hadi usiku. Mke wangu alikereka na kusema "mimi " nakwenda kulala, siwezi kukuona katika hali hii '. "
.
"Yeye [Ronaldo] mwaka jana huko Serie A alimzidi kila kitu Lukaku ambaye amesajiliwa Chelsea kwa £ 96m. Hiyo inakuambia Ubora ambao bado anao Ronaldo."
.
"Cavani, lazima niseme ameiona ni nani amekuja mjini na bila shka atatla jezi yake no.7."
.


Screenshot_20210828-093348_Instagram.jpg
 
Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo CAS imesema maamuzi/hukumu ya kesi ya kimkataba kati ya klabu ya Yanga SC dhidi ya mchezaji wao wa zamani ambaye hivi sasa ni mchezaji wa Simba SC Bernard Morrison itatolewa muda wowote kuanzia sasa hadi Septemba 21, 2021.
Screenshot_20210828-094356_Instagram.jpg
 
Manchester City hawajafungwa katika michezo yao 11 ya mwisho ya Ligi dhidi ya Arsenal (W9, D2). Mara ya mwisho kuooteza ilikuwa Disemba 2015 kichapo cha 2-1 huko Emirates.

Wamekusanya alama 28 kati ya 30 zinazowezekana dhidi ya Arsenal wakiwa chini ya Pep Guardiola (Ushindi 9, sare 1).

Leo wanakutana saa 8:30 mchana, Arsenal wataweza kumzuia Man City __?

Screenshot_20210828-094521_Instagram.jpg
 
Mapokeo ya tangazo la Utambulisho wa Cristiano Ronaldo kurejea Manchester United kwenye Twitter na Instagram yamezidi yale ya Lionel Messi kwenda PSG ndani ya lisaa limoja.

CR7

Jamani huyu ndio maana anaitwa mnyamaaa muache kumfananisha na mtu mwingine
Screenshot_20210828-102139_Instagram.jpg
 
| CR7 > MAN UTD: DONE DEAL
.
Cristiano Ronaldo anarejea nyumbani Manchester United! Makubaliano yamekamilika sasa ni RASMI

- Manchester United italipa karibu euro milioni 20 pamoja na nyongeza kwa Juventus kama ada ya uhamisho.
Screenshot_20210828-102859_Instagram.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom