Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
PRINCE DUBE
FC PYRAMIDS 
.
Kwa mujibu wa Jarida la Kickoff magazine limeripoti kuwa matajiri wa Ligi kuu ya Misri, FC Pyramids wameandaa ofa nono kwa ajili ya kuinasa saini ya mshambuliaji wa Azam FC Prince Dube (24).
.
Klabu hiyo inayomilikiwa na Taikuni Bilionea Salem Al Shamsi, kwa kutambua kwamba Dube bado ana mkataba wa miaka 3 na Azam ameweka mezani dola 800,000 zaidi ya Shilingi bilioni 1.8 ili kumnasa.
.
Dube katika msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara alihusika katika mabao 19, akifunga 14 na kutoa assists 5 kwenye michezo 22.
FC PYRAMIDS 
.
Kwa mujibu wa Jarida la Kickoff magazine limeripoti kuwa matajiri wa Ligi kuu ya Misri, FC Pyramids wameandaa ofa nono kwa ajili ya kuinasa saini ya mshambuliaji wa Azam FC Prince Dube (24).
.
Klabu hiyo inayomilikiwa na Taikuni Bilionea Salem Al Shamsi, kwa kutambua kwamba Dube bado ana mkataba wa miaka 3 na Azam ameweka mezani dola 800,000 zaidi ya Shilingi bilioni 1.8 ili kumnasa.
.
Dube katika msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara alihusika katika mabao 19, akifunga 14 na kutoa assists 5 kwenye michezo 22.
