Kabisa mamyEbu shangaa jamani yaani mimi ndio huwa sijali kabisa
Hahahha mimi nahisi nitakuwa wa mwisho kupata chanjo mpaka nyie mmalizikeMwenzetu tayari
Waoga wa sindano mnajulikana kwa kweli mimi nitakuwa wa mwishoHahahha mimi nahisi nitakuwa wa mwisho kupata chanjo mpaka nyie mmalizike
Waoga wa sindano mnajulikana kwa kweli mimi nitakuwa wa mwisho
Naendelea vizuri sana baba wawili sijui wewe mbona umeadimika sana hivi nini shida etiSijambo Shunie, habari za kwako? Unaendeleaje na majukumu yako ya kila siku
Kuna mambo tu yalinibana Shunie, ila kila kitu kipo sawa kwa sasa..Naendelea vizuri sana baba wawili sijui wewe mbona umeadimika sana hivi nini shida eti