Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kocha Mkuu wa RS BERKANE ya Morocco Florent Ibenge ameshauri uongozi wa klabu hiyo kumsajili mshambuliaji wa Simba Chris Mugalu kuelekea msimu ujao [2021/2022]

- Kwa mujibu wa Nuhu Adams
Screenshot_20210808-192441_GBInsta.jpg
 
Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima, amekanusha madai kuwa amelishwa sumu kutokana na msimamo wake kuhusu chanjo.

Askofu huyo ameeleza kuwa hajalishwa sumu, hakuna wa kumfanyia hivyo.

Akizungumza leo Jumapili Agosti 8, 2021 wakati wa ibada kanisani kwake kuwa, “Wanataka kusingizia watu, labda kusingizia kwamba serikali imeninywesha sumu. Niwahakikishie kwamba hakuna serikali imemnywesha sumu Gwajima kwa kuwa serikali ndiyo inasema chanjo ni hairi. Hakuna wa kuninywesha sumu na hatotokea.
Askofu huyo ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Kawe alizungumzia pia suala la chanjo huku akisema suala la afya ya mtu linapaswa kulindwa na mtu mwenyewe.

“Labda nitoe changamoto kwa wanaojiita watalaam waje walete andiko linaloonyesha kemikali zilizopo kwenye chanjo.

Hata hivyo, Mkurugenzi wa kuratibu utafiti wa taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu (NIMR) Dk Paul Kazyoba ameeleza kuwa chanjo hiyo ni salama na imeanza kutolewa baada ya tafiti nyingi kufanyika na kujiridisha usalama wake.
Screenshot_20210808-194954_GBInsta.jpg
 
Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima, amekanusha madai kuwa amelishwa sumu kutokana na msimamo wake kuhusu chanjo.

Askofu huyo ameeleza kuwa hajalishwa sumu, hakuna wa kumfanyia hivyo.

Akizungumza leo Jumapili Agosti 8, 2021 wakati wa ibada kanisani kwake kuwa, “Wanataka kusingizia watu, labda kusingizia kwamba serikali imeninywesha sumu. Niwahakikishie kwamba hakuna serikali imemnywesha sumu Gwajima kwa kuwa serikali ndiyo inasema chanjo ni hairi. Hakuna wa kuninywesha sumu na hatotokea.
Askofu huyo ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Kawe alizungumzia pia suala la chanjo huku akisema suala la afya ya mtu linapaswa kulindwa na mtu mwenyewe.

“Labda nitoe changamoto kwa wanaojiita watalaam waje walete andiko linaloonyesha kemikali zilizopo kwenye chanjo.

Hata hivyo, Mkurugenzi wa kuratibu utafiti wa taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu (NIMR) Dk Paul Kazyoba ameeleza kuwa chanjo hiyo ni salama na imeanza kutolewa baada ya tafiti nyingi kufanyika na kujiridisha usalama wake.View attachment 1885520
Wajibu hoja zake waache kujifungia kwenye maofisi yao huko
 
MIKONO YA KIHAMU

LIONEL MESSI, KITAMBULISHO REJEA KWENYE HISTORIA

Kwenye historia ya klabu ya Barcelona haiwezi kuja zama mpya bila kafara kufanyika! Kafara ya uchungu na mateso lakini ndio historia ya mafanikio yao

Turudi nyuma kidogo mpaka 1988! Barcelona kama klabu ilipitia mtikisiko mkubwa kwa kile kilichoitwa HESPERIA MUTINY, mpango hatari wa Wachezaji kutaka kumpindua Rais

Wachezaji waandamizi walikutana hotel moja kujenga hoja za kumuangusha Rais Jose Luis Nunez! Bahati mbaya mpango ulikwama, ikalazimika wachezaji zaidi ya 13 kutimuliwa

Barcelona ikaanza upya kabisa! Ndipo hapa zikaja zama za JOHANN CRUYFF! Yes ndipo hapo zama mpya za Barcelona zilianza baada ya wachezaji muhimu na tegemezi kutolewa kafara

Hii ndio Barcelona yenye misingi ya La Masia, soka la kuvutia na mafanikio makubwa sana, ilitokana na POST HESPERIA ERA kwenye vitabu vya kihistoria

Luis Henrique ndie Kocha wa mwisho kumalizia matunda ya project hii iliyosukwa tangu 1990! Hivi sasa Barca haina mwelekeo ni kama inayumba na ni kweli inahitaji mawazo mapya na Mfumo mpya

Katikati ya zama hizi kuelekea zama mpya kafara sasa ni Mtoto Lionel Messi! Ni lazima yeye apishe mfumo ili waanze upya, wanasalia Gerard Pique na Sergio Busquets, watasalia kama nembo ila Barca wanaanza upya

Niwaambie tu kitu! Inawezekana vipi Barcelona wasijue kama wamevuka kiwango cha mishahara? Inawezekana vipi Messi alietaka kuondoka msimu uliopita akubali kuondoka sasa?

Kingine ni kuwa Joan Laporta ameingia kimkakati, huyu ni Godfather wa watoto wote wa La Masia akiwemo Messi, wanampenda sana kwahiyo ndie pekee angeweza kukamilisha hii plan bila kelele kutoka kwa Wachezaji na Wanachama

Lionel amekubali kujitoa kafara kwa ajili ya era mpya hii itaitwa POST LIONEL ERA, ASANTE KWA KILA KITU MUCHAS LEGEND
Screenshot_20210808-200154_GBInsta.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom