😅 ukifa, tunakufa wote...Unataka kuniua eti
Kunjua roho yako uone kama nakudanganya... cheupe dawa 😉Eeenhebu acha kunidanganya bwana
Live band Leo wapi shangaziSawa sawa we mzee
Hahahaha tatizo hutaki kumwaga account number ya muamala shangazi .usihofu khs tozoWe mzee udhamini wa maneno me siutaki mwaga mahelaaa
Hahhaha ebu ngoja kwanzaKunjua roho yako uone kama nakudanganya... cheupe dawa![]()
Hayo mambo we mzee nimeshayasahau nahisi huu uzee wangu utakuwa unachangiaLive band Leo wapi shangazi
Hahhaha we mzee bwana nimechekaHahahaha tatizo hutaki kumwaga account number ya muamala shangazi .usihofu khs tozo
Muda haurudi hakuna kungoja...Hahhaha ebu ngoja kwanza
Hahahaha vzr km nawe unafikia uzee km Mimi .karibu uzeeni shsngazi .karibu sanaHayo mambo we mzee nimeshayasahau nahisi huu uzee wangu utakuwa unachangia
Hahahaha nafurahi ukifurahi shangaziHahhaha we mzee bwana nimecheka