Kuna Wakuu wa Wilaya wawili wateule kwenye hii post wote kutoka Mkoani Lindi, Hassan Ngoma ameteuliwa na Rais Samia kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, kabla ya uteuzi huo Ngoma alikuwa DAS Singida.
Kuna Hashimu Komba pia ambaye ameteuliwa kuendelea kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea.
View attachment 1824364View attachment 1824366