Makapuku Forum

Ndiyo tayari ashakua kwenye system ni kucheko kwenda mbele, ila u- DAS hauna hatari ya Kufukuzwa saa yoyote kama U- DC na U - RC...
 
Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu amewataka Wakuu wa Mikoa wote nchini kuwaapisha Wakuu wa Wilaya wapya walioteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan, kesho Jumatatu June 21, 2021 huku akisema kusiwe na kisingizio chochote.

Akizungumza leo Dar es Salaam Waziri Ummy amesema———-“Kama kuna sababu yoyote basi Jumanne zoezi liwe limekamilika kwasababu tunataka hadi Jumatano Wakuu wa Wilaya wote wawepo katika vituo vyao vya kazi, waende wakaripoti katika vituo vyao vya Kazi halafu baadaye ndio wanaweza kurudi kwa ajili ya taratibu za kuhama”
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…