Makapuku Forum

Heeeeh kumbe haya mambo yameanza zamani sana, lol
....na usisahau wale wajuba wa enzi za Lot (Lutu) waliopigwa upofu wakiwa katika harakati za kutaka kuwalawiti (homosexual relations with the angels). Wajuba waliwakataa mabinti bikira wakawataka kukomangana na wanaume wenzao. Haijaanza leo
 
Shunie asante kwa magazeti na Je Wajua, sehemu hii ni nzuri kwa sababu kila mmoja wetu yupo hapa.

Jtatu njema.

Ndugu yenu sijambo hata kama hamtaki kujua hali yangu
 
Asante binamu yangu kwa kushukuru ila usitekwe sana basi binamu

....nimepata kazi kwa wahindi aunt yangu, wanashikilia simu na wamekaa kianalojia zaidi, fikiria hadi leo wanatumia zile simu za kuzungusha kuunganishwa kwa operator?
Anko Lee anajua sema umemchanganya na Nigendako anaongeza changanyo basi inakuwa hasi jumlisha hasi
 
....na usisahau wale wajuba wa enzi za Lot (Lutu) waliopigwa upofu wakiwa katika harakati za kutaka kuwalawiti (homosexual relations with the angels). Wajuba waliwakataa mabinti bikira wakawataka kukomangana na wanaume wenzao. Haijaanza leo
Sasa km ilianza zamani za kale sana, mbona sahivi inaonekana ajabu au ni jambo jipya kutokea? Huu utakua ni unafiki sasa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…