PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,105
- 14,356
Ngoja tuone kama Leo ataperform vizuri maana anafungwa mpaka na timu ndogo
liverfool hata yy performance yake imeshukaNgoja tuone kama Leo ataperform vizuri maana anafungwa mpaka na timu ndogo
liverfool hata yy performance yake imeshukaMarhabaaaaa mjukuu wanguShikamooni wakubwa...wadogo chamoo!
Hahaha![]()
![]()
![]()
unaelekea Arusha nasikia walisema wanagawa sukar bure ila had sasa cjajua ni mtaa gani
Hahaha
Asante kwa taarifa, nlikuwa sja skia, maana ile ya lindi nilienda
hata lindi kwenyewe ilikuwa ni maneno mengiSafi mkuu, huko ulipo hawagi sukari!!?Kumekucha salama.
huku nilipo sukar buku 3 na wanauza kwa maringoSafi mkuu, huko ulipo hawagi sukari!!?

Safi, kwenye jukwaa la timu yetu kule umetuekea nini kipya!!?ziko njema kabisa
Nina katabia ka kuulizia jinsia...sijui kama ni tabia nzuri ila poa tu! Kajinsia kako please!Marhabaaaaa mjukuu wangu
Hahahahuku nilipo sukar buku 3 na wanauza kwa maringo![]()
![]()
![]()
Kwa kwel marhabaShikamooni wakubwa...wadogo chamoo!
AaahMorning family.....
Kurasa za mbele za magazeti mtazipata hivi punde tu