Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
“Baada ya uchambuzi wa kina Kamati imependekeza Serikali itoe taarifa juu ya uwepo wa ugonjwa wa Covid 19 na ichukue hatua madhubuti kuimarisha hatua zote za kinga katika ngazi zote ili kuepusha wimbi la tatu la ugonjwa huo”———Mapendekezo ya Kamati ya Tathmini ya Corona iliyoundwa na Rais Samia Suluhu
Tanzania ishiriki ipasavyo katika maamuzi na itekeleze maazimio ya Kikanda na Kimataifa iliyoridhia katika Jumuiya za Afrika Mashariki, SADC, AU na WHO”———Kamati ya Tathmini ya Corona
Tanzania ishiriki ipasavyo katika maamuzi na itekeleze maazimio ya Kikanda na Kimataifa iliyoridhia katika Jumuiya za Afrika Mashariki, SADC, AU na WHO”———Kamati ya Tathmini ya Corona




na mapenzi ninayopata kwa mpenzi wangu na kila kitu chetu kinachotupa amani na furaha