Sawa!Watafiti nchini Tanzania kutoka chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo(SUA) wamesema kuna uwezekano mkubwa kwa panya kutumika kutambua maambukizi ya virusi vya corona, Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi nchini humo.
Dkt.Georgies Mgode, mtafiti kutoka SUA ameliambia gazeti hilo kuwa wana imani kuwa panya wanaweza kutambua virusi vya corona kwa ufanisi mkubwa kwa sababu tayari wameona mafanikio ya jinsi panya wanavyoweza kutambua mabomu yaliyojificha ardhini na kutambua vimelea vya kifua kikuu.
"Vipimo vya virusi vya corona kwa sasa ni ghali na vinatoka nje ya nchi, lakini kwa kutumia panya itakuwa rahisi na itapunguza maumivu kwa wanaopimwa kwa vifaa."
View attachment 1783125
Minal faidhinaWaislamu kwenye mataifa mengi duniani leo wanasherehekea sikukuu ya #Eid #al-#Fitr huku mataifa kadhaa yakiwa bado yameweka vizuizi vikali vya kukabiliana na janga la virusi vya corona.
Saudi Arabia, ambako ndiko kuliko misikiti miwili mitukufu ya Makkah na Madina, ilitangaza kwamba leo utakuwa mwanzo wa siku tatu za Eid, baada ya kukamilisha siku 30 za mfungo.
Nchi nyengine ambazo zinaadhimisha Eid leo ni Qatar, Jordan, Misri, Algeria, Syria, Muungano wa Falme za Kiarabu na Tunisia. Kwa upande wa Afrika Mashariki, Rwanda na Uganda zinaadhimisha pamoja na sehemu nyengine za ulimwengu hivi leo.
Lakini kwa Tanzania, ikiwemo Zanzibar, eid rasmi ya kiserikali ni kesho Ijumaa, kama ilivyo kwa mataifa mengine ya Kiarabu kama vile Oman. DW Kiswahili inasema Eid Mubarak .View attachment 1783119
HahahhahaMinal faidhina
Dah,, mjomba wangu inabidi azoee tuMaisha huwa yanabadilika baba wawili usishangae bwana kawaidia tu na maisha mengine yanaendelea
Niko salama kabsa Shunie, jioni yako ikoje hapo?Sijambo baba wawili habari yako
...kwanini wanamuacha aendelee kuua bila kukusudia? Kama wanashindwa kumfunga basi apewe kifungo cha kutokuoa ili kuokoa maisha ya wanawake anaowaoa na kuwaua bila kukusudiaduuuh historia ndo inamtafuna
... binamu, mfungo umeisha unaanza fitna sasa ha ahahahhahahahKweli maisha yana kwenda kasi sana, toka i go dai fo you (in harmonize's voice) hadi asante kwa magazeti...
Kesho tukutane viwanja vya machava sheikhHappy Eid wanajukwaa