Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Joseph Michael Palmer aliyeishi kuanzia miaka ya 1789 hadi 1873, alikuwa ni mtu ambae ana mandevu mengi sanaa kama anavyoonekana pichani.
Sasa bwana watu wa kijiji alichokua anaishi walikua wanachukia sana ndevu zake kipindi iko fashion ya kufuga ndevu nyingi haikuwepo, mara kwa mara walikua wanamwambia anyoe lakini alikataa. Wengine walikua wanamwambia kama hataki kunyoa basi wasimuone mtaani kwasababu anatisha kama shetani.
Siku moja mwaka 1830, Wanaume wanne wakiwa na mkasi na wembe walimvamia Palmer nje ya hoteli ya Fitchburg na kujaribu kutaka kumnyoa ndevu zake. Palmer alifanikiwa kujitetea dhidi ya watu hao.
Katika pulukushani za kujitetea Palmer aliwajeruhi miguuni wawili miongoni mwa wavamizi wale. Kwa kitendo icho Palmer, alishtakiwa kwa "shambulio lisilokuwa na sababu",
Palmer alishtakiwa siku chache baadaye mbele ya Jaji David Brigham na kupigwa faini. Palmer alikataa kulipa faini ambayo ilitokana na kuhukumiwa kwake kwa uhalifu wa kujitetea. Palmer alitupwa jela kwa zaidi ya mwaka mmoja kwa kukataa kulipa faini hiyo.
Sasa bwana watu wa kijiji alichokua anaishi walikua wanachukia sana ndevu zake kipindi iko fashion ya kufuga ndevu nyingi haikuwepo, mara kwa mara walikua wanamwambia anyoe lakini alikataa. Wengine walikua wanamwambia kama hataki kunyoa basi wasimuone mtaani kwasababu anatisha kama shetani.
Siku moja mwaka 1830, Wanaume wanne wakiwa na mkasi na wembe walimvamia Palmer nje ya hoteli ya Fitchburg na kujaribu kutaka kumnyoa ndevu zake. Palmer alifanikiwa kujitetea dhidi ya watu hao.
Katika pulukushani za kujitetea Palmer aliwajeruhi miguuni wawili miongoni mwa wavamizi wale. Kwa kitendo icho Palmer, alishtakiwa kwa "shambulio lisilokuwa na sababu",
Palmer alishtakiwa siku chache baadaye mbele ya Jaji David Brigham na kupigwa faini. Palmer alikataa kulipa faini ambayo ilitokana na kuhukumiwa kwake kwa uhalifu wa kujitetea. Palmer alitupwa jela kwa zaidi ya mwaka mmoja kwa kukataa kulipa faini hiyo.