Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Dunstan kyobya amewataka Wananchi wa Mtwara kuchukua tahadhari kufuatia tahadhari iliyotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa juu ya Kimbunga Jobo ambacho kimeendelea kuimarika na kusogea kuja uelekeo wa maeneo ya Tanzania hususani maeneo ya Lindi na Mtwara.
“Tumeambiwa kutakuwa na mvua na upepo mkali kwahiyo tuendelee kuchukua tahadhari, niwatoe wasiwasi tuendelee na majukumu kama kawaida, tutaendelea kutoa tahadhari na kukiwa na tahadhari ambayo imekithiri basi tutawaelezea nini cha kufanya”———DC Kyobya
“Tumeambiwa kutakuwa na mvua na upepo mkali kwahiyo tuendelee kuchukua tahadhari, niwatoe wasiwasi tuendelee na majukumu kama kawaida, tutaendelea kutoa tahadhari na kukiwa na tahadhari ambayo imekithiri basi tutawaelezea nini cha kufanya”———DC Kyobya
mtoto mlito
