Copy ya talaka tulikupa eeehSafi ex wa shemela wangu shululu
Nashukuru ShunieJamani nige pole sana baba wawili pole mnooo Mungu azidi kukutia nguvu katika haya mapito
Mnase vibao akili imkae sawa...Babe wangu kawa mpole mpaka namuogopakumbe watu mkiwa kwenye mfungo ndio mpo hivi
![]()
Asante dada angu, habari za siku?Pole sana kaka ake Mungu akutie nguvu
Vipi baba wawili unaendeleaje najua upo kwenye mfungo naomba nikutakie mfungo mwemaNashukuru Shunie
Naanzaje mimi kumnasa vibao mwanaume tena mwanaume wangu siwezi jamaniMnase vibao akili imkae sawa...
![]()
Ukiona anakua mpole sana, unamuanzishia ili achangamke...Naanzaje mimi kumnasa vibao mwanaume tena mwanaume wangu siwezi jamani
MmhUkiona anakua mpole sana, unamuanzishia ili achangamke...
Funga nae kama unaweza... ukifa unamfia mikononi...Mmh
Nimemuanzishia sana tu naona acha nimuache tu na mfungo
Bora tu nifunge naeFunga nae kama unaweza... ukifa unamfia mikononi...
![]()
Asante sana Shunie.. Uwe na jioni njemaVipi baba wawili unaendeleaje najua upo kwenye mfungo naomba nikutakie mfungo mwema
Asante baba wawili na kwako piaAsante sana Shunie.. Uwe na jioni njema
Dada!upoo umeona pira biriani?!!simba rahaaAsante baba wawili na kwako pia
Dada hii simba kibokoDada!upoo umeona pira biriani?!!simba rahaa