Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Laki 1 na 30Hivi duvet huwa bei gan walahi nimeitaman
Laki 1 na 30Hivi duvet huwa bei gan walahi nimeitaman
Asante ....Laki 1 na 30
Niko hapa nimejaaaRoho ya babe wangu![]()
Sio weweNiko hapa nimejaaa
Ni mimiSio wewe
Nyimbo ya Squeezer na Juma nature ipo poa sana...Babe uwahi kurudi leo na hii hali ya hewa![]()
Roho ya babe wangu![]()
Mungu azidi kuniwekea tu wewe mwanaume nakupenda mimi![]()
Hahhhaa mimi mpaka nyimbo niipende ila mbosso naipenda nyimbo aliyoimba na zuchuIle nyimbo ya Mbosso - Tamba ipo vizuri sana...
![]()
He he zuchu nimeanza kumfatilia alivyoimba na mbosso na sukari basiNyimbo ya Zuchu - Sukari ipo poa...
Anajua kama unampenda??
NitaisikilizaNyimbo ya Squeezer na Juma nature ipo poa sana...
Inaitwa Naja...
![]()

Sikiliza maneno yake tu...Hahhhaa mimi mpaka nyimbo niipende ila mbosso naipenda nyimbo aliyoimba na zuchu
Kasikilize maneno yake...Hahhhaa mimi mpaka nyimbo niipende ila mbosso naipenda nyimbo aliyoimba na zuchu
Inaonekana unaipenda eenhSikiliza maneno yake tu...
Kasikilize maneno yake...
Unaambiwa:
Nguru usimtoe chumvi ndio ladha yake...
Muunge tu nipe na chuzi na nyama yake...
Eeh kula ya mbuzi ni kamba yake...
Ye king'amuzi mi ni dishi lake...
Yanga nao ni viazi...Mpaka raundi ya kwanza inaisha, walipokuwa wanaongoza ligi...hatukusikia haya maandamano...walipopewa penalt ya wasiwasi siku ile ccm kirumba iliyofungwa na kisinda, hatukusikia hizi lawama...ila mambo yalipogeuka wameanza kutafuta sehemu ya kufichia udhaifu wao...wana wa manipulate mashabiki wao.Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imefanya kikao na Uongozi wa Yanga ambapo pamoja na mambo mengine Viongozi wa Yanga wakiongozwa na Mwenyekiti wake Dkt. Mshindo Msolla wameelezea namna ambavyo Yanga hairidhishwi na jinsi TFF inavyoshughulikia mambo ya Yanga.
Afisa Habari wa Yanga Hassan Bumbuli amesema walipokea wito kutoka kwa Waziri ambaye aliagiza pia Watendaji wa Wizara wakutane na Viongozi hao wa Yanga na wamefanya mazungumzo na kuwasilisha nyaraka mbalimbali.
“Tumekutana na Viongozi wa Serikali tumeeleza yote ya Msingi, tumewaachia wayafanyie kazi na kwakweli yalikuwa majadiliano mazuri sana na tunawaomba Wanachama na Wapenzi Watulie wakati huu ambao Serikali inayashughulikia masuala haya”——— HASSAN BUMBULI
Bumbuli amesema Serikali ilitaka kufahamu kwa undani juu ya hali ya sintofahamu ambayo imekuwa ikijitokeza kati ya Yanga na TFF———“Tunaishukuru Serikali kwa kutupa nafasi ya kuelezea yote ambayo Klabu inafanyiwa tumaamini suluhisho litapatikana”View attachment 1746675