Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Mipango na Fedha akichukua nafasi ya Dr.Philip Mpango ambaye ameapishwa leo kuwa Makamu wa Rais.View attachment 1739565
Rais Samia Suluhu amemteua Ummy Mwalimu kuwa Waziri wa Ofisi ya Rais TAMISEMI akichukua nafasi ya Selemani Jafo ambaye ameteuliwa kuwa Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais.View attachment 1739566
Rais Samia Suluhu amemteua aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Katiba na Sheria akichukua nafasi ya Mwigulu Nchemba ambaye ameteuliwa kuwa Waziri wa Fedha na Mipango.View attachment 1739579
AminaaKuna siku mtu anakuwa hajisikii kuongea ndio maana mtu anaamua kutoa likes tu sio unafikilia vibaya
Huyu hana neno...Rais Samia Hassan amemteua Balozi Hussein Kattanga ambaye ni Balozi wa Japan kuwa Katibu Mkuu Kiongozi akichukua nafasi ya Balozi Bashiru Ally ambaye ameteuliwa kuwa Mbunge, nafasi ya Katanga itajazwa baadaye.View attachment 1739590
Safi sana... tena hapo kamuheshimu sana.. Ilipasawa amtae kabisa...Rais Samia Suluhu amefanya uteuzi wa Wabunge wapya watatu leo, ambapo amemteua aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Bashiru Ally kuwa Mbunge huku nafasi yake ya Ukatibu Mkuu Kiongozi ikichukuliwa na Balozi wa Japan Hussein Kattanga.
Wabunge wengine walioteuliwa na Rais leo ni Balozi Liberata Mulamula na Balozi Mbarouck Nassor.View attachment 1739591
Huyu kama kayazoea haya maisha ya njeRais Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Liberata Mulamula kuwa Waziri wa Mambo ya Nje akichukua nafasi ya Kabudi ambaye amehamishiwa Wizara ya Katiba na Sheria, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje ni Balozi Mbarouck Nassor.View attachment 1739629
Una ile list nzima ya baraza?Rais Samia Suluhu amemteua aliyekuwa Waziri wa Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara akichukua nafasi ya Geoffrey Mwambe ambaye amehamishiwa Wizara ya Uwekezaji.View attachment 1739636
T si nimeweka yote hapaUna ile list nzima ya baraza?
nina kazi nayo shem.
Hizi za millard Ayo, mipicha kibao.T si nimeweka yote hapa
Hiyo kazi siweziHizi za millard Ayo, mipicha kibao.
Nataka list tuu...just names and theirs respective offices.