Makapuku Forum

Makapuku Forum

20210322_052617.jpg
20210322_052635.jpg
 
Hivi ndivyo Wananchi wa Dodoma walivyomiminika Barabarani makundi kwa makundi usiku huu wakiusindikiza msafara uliobeba mwili wa Hayati Magufuli kwa ajili ya kutoa heshima zao za mwisho.
RIPHayatiMagufuli
20210322_093433.jpg
20210322_093417.jpg
20210322_093348.jpg
20210322_093329.jpg
20210322_093312.jpg
20210322_093255.jpg
 
Wananchi hawa wana kumbukumbu ya kushuhudia kwa mara ya kwanza Sherehe za kuapishwa Rais katika uwanja huu wa Jamhuri. Aliapishwa hapa Rais Magufuli hapa miezi mitano tu iliyopita.

Wananchi hawa leo wanashuhudia kwa mara kwanza kuagwa rasmi kitaifa kwa Rais Magufuli. Hakika ni pigo na jeraha zito kwao.

#PumzikaBaba #TutaonanaBaadae
20210322_094152.jpg
20210322_094133.jpg
20210322_094113.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom