Tumekumiss pia mndali karibu sanaShunie nimewamisi sana huku
Asante shunie nimekaribiaTumekumiss pia mndali karibu sana
Tupo bwana tunamshukuru MunguAsante shunie nimekaribia
Nashkru kuwakuta wenyeji wangu bado mpo
Asante mrembo mrito sijui kama nimepatia hilo jina maana ni siku nyingi sanaTupo bwana tunamshukuru Mungu
Karibu sana nimefurahi kukuona mndali
Hahahha mtoto mlitoAsante mrembo mrito sijui kama nimepatia hilo jina maana ni siku nyingi sana
Ila naona wadau wepotea sana

wadau wapo wanasoma kimyakimya wakijisikia watakusalimia wapo sanaa tuWaoooo nashkuru kwa kunikumbusha hilo jinaHahahha mtoto mlito
wadau wapo wanasoma kimyakimya wakijisikia watakusalimia wapo sanaa tu
Tumosa yupo adimu kidogo kuna majukumu yamembana ndio maana haonekani jfWaoooo nashkuru kwa kunikumbusha hilo jina
Mtoto mlito kutoka tanga eeeh
Nashkr kama wapo
Sijui dadangu tumosa kama yupo kweli
Sawa umenikumbusha ngoja nikirudi nyumban nikatafute line yenye namba yake nimchekTumosa yupo adimu kidogo kuna majukumu yamembana ndio maana haonekani jf
Akipata mda atakuja ila yupo mzima sana huwa nachart nae whatsapp
Habari za hapa niseme tu sio nzuri tupo kwenye msibaSawa umenikumbusha ngoja nikirudi nyumban nikatafute line yenye namba yake nimchek
Maana muda mrefu sijawasiliana nae
Habar za hapo ulipo
Ni kweli huu msiba ni wetu soteHabari za hapa niseme tu sio nzuri tupo kwenye msiba
Kweli kabisa Mungu amtangulie jaman amshike mkono kwenye uongozi wakeNi kweli huu msiba ni wetu sote
Huku vijijin watu wamechanganyikiwa
Ila mungu ni mwema anatutia nguvu na Leo kaapiswa mama maisha yataendelea
Nikupe hongera kwa mwanamke wa kwanza kuwa raisi
Wanawake mnahitaji mjipange kumtumia kama sehemu ya mafanikio yenu
AmenKweli kabisa Mungu amtangulie jaman amshike mkono kwenye uongozi wake
Au kufa kufaana kila msemo uko na maana yake kikubwa ni kumtanguliza Mungu tuAmen
Unajua kiroho tunasema kila lilipo ndio lilio pangwa na kila jambo lina sababu zake
Ni kweli Mungu ndio mweza wa yoteAu kufa kufaana kila msemo uko na maana yake kikubwa ni kumtanguliza Mungu tu