Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Hahahah baba wawili bwanaNgoja nikae mkao wa kula![]()
Hahahah baba wawili bwanaNgoja nikae mkao wa kula![]()
Mlikuwepo mkawa mnaingia kwa kuchunguliaTulikuwepo,wewe ndio ulikuwa busy busy
Wewe ndio ulikuwa unaingia kwa kuchungulia kumbeMlikuwepo mkawa mnaingia kwa kuchungulia
Kwani mwili wako ukoje Shunie, tuanzie hapo kwanzahalafu mguu wangu wa kawaida tu unanifanania na mwili wangu
Hivi mwili wangu si unaujua baba wawili napostig picha apaKwani mwili wako ukoje Shunie, tuanzie hapo kwanza
Mimi wala sijaingia kabisaWewe ndio ulikuwa unaingia kwa kuchungulia kumbe
Nimecheka na ukaribishombona umecheka
Sijawahi uona Shunie, fanya kupost nioneHivi mwili wangu si unaujua baba wawili napostig picha apa
Ha ha haya Shunnie, ukiwa tayali uje tuNimecheka na ukaribisho
He heHa ha haya Shunnie, ukiwa tayali uje tu
Weeeh baba wawili hivi mjomba ako yuko api au kajinyongaSijawahi uona Shunie, fanya kupost nione
Jana ilibidi tuitishe kikao cha familia, maana sio kawaida yake, ana week sasa hajaonekana ..ni kumuombea tu, hachelewi kujinyonga yuleWeeeh baba wawili hivi mjomba ako yuko api au kajinyonga
Jana ilibidi tuitishe kikao cha familia, maana sio kawaida yake, ana week sasa hajaonekana ..ni kumuombea tu, hachelewi kujinyonga yule



Ila jana nimemuona kaview status yanguKwa hiyo wana familia ndio kaamua kutu mute eehIla jana nimemuona kaview status yangu
Kwa hiyo wana familia ndio kaamua kutu mute eeh


Itakuwa yupo humu jf ila makapuku haingii kasusaKwa style hii ya kususa usimsameh kamweItakuwa yupo humu jf ila makapuku haingii kasusa
,acha ambane na hali yake