Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,175
- 48,459
Kule Mtaa wetu ulishahama!!??Nipo mkuu napatikana sana huku makapuku karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kule Mtaa wetu ulishahama!!??Nipo mkuu napatikana sana huku makapuku karibu
Wapi uko
Sijaingia mda sana uko siku nyingine huwa napita nasoma tu kimyakimya
Umechefukwa!!!Sijaingia mda sana uko siku nyingine huwa napita nasoma tu kimyakimya
Hahaha hamna bwana
Hahaha msalimie sana mdogo wakoMdogo wangu huyo baba wawili
Hahaha msalimie sana mdogo wako



niko nae apa baba wawili zimefikaunajitekenya halafu unacheka mwenyeweniko nae apa baba wawili zimefika
Hiyo ni mboga mkuu nimefunga mjadala.

Usifunge mjadala bro.Una nini leo ShunieChomeka chomoa, mwenzako nawashwa shwa![]()

Ndugu zake tupo wengi sana,hata mimi ni ndugu yake pia😄😄😄Mimi ndugu yako mjomba, kuwa na amani, nakuwekea mazingira sawa
Nimempora mpenzi wake mpyaJamani mimi nimeshatoka uko niko na maisha yangu hivi na wewe si uko na maisha yako na mahusiano yako
unajitekenya halafu unacheka mwenyewe






Kwa nini jamani moudUna nini leo Shunie![]()
Mimi hainihusuNimempora mpenzi wake mpya
Yatakuhusu tuuu ngoja niingie kazini!Mimi hainihusu
Alah kumbe,sema huyu ndugu yetu akibanwa na mambo ndio anatukumbuka, acha apambane safari hiiNdugu zake tupo wengi sana,hata mimi ni ndugu yake pia![]()
