Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Ukimaliza sikiliza na mwingine unaitwa AyaItabidiii nisikilizeee
Ukimaliza sikiliza na mwingine unaitwa AyaItabidiii nisikilizeee
Vingine vyote sijaviona mimiAisee![]()
Hilo sofaaa , kama ningewezaa ningerudisha mda nyumaaYaani kanaunguza jamani
Rudisha tu kumbukumbu lazima uwe nazo haziwezi futikaHilo sofaaa , kama ningewezaa ningerudisha mda nyumaa
Unaaanzaje kukosa mjomba...tena upo kwenye kumi boraHivi kwenye wajinga na mm sikosii


Mimi nakupambania urudi, unanigeuka tenaYule kachangiaa ujuee
Hivi mbona hukuwa na moyo wa kutosameheRudisha tu kumbukumbu lazima uwe nazo haziwezi futika
Sikujuaa mjomba wangu mpendwaMimi nakupapania urudi, unanigeuka tena
Ha ha ha angalia kaubaridi kasije acha kovu hapoYaani kanaunguza jamani
Na wewe umezidiii mbona sikuelewi mjombaHa ha ha angalia kaubaridi kasije acha kovu hapo
Mimi ndugu yako mjomba, kuwa na amani, nakuwekea mazingira sawaNa wewe umezidiii mbona sikuelewi mjomba
kipindi hiki utasikiliza nyimbo zote za Marioo



Hahhhaha ebu ngoja niitoeHa ha ha angalia kaubaridi kasije acha kovu hapo
Kweliiiii tena tatu boraUnaaanzaje kukosa mjomba...tena upo kwenye kumi bora![]()
Itakuwa vizur make kameniumiza haka kapichaaHahhhaha ebu ngoja niitoe
Mmmmmh mara naona kuna safar zinapangwa mara nini sielewii na nakujuaMimi ndugu yako mjomba, kuwa na amani, nakuwekea mazingira sawa
Kuna ubaya Shangazi akija kunitembelea mjombaa?Mmmmmh mara naona kuna safar zinapangwa mara nini sielewii na nakujua