nakupenda kinomaaa yan kinomaa ila sio kivile🤣Maisha ni hayahaya jamani matamu sanaaa halafu mafupi ukipata nafasi ya kumwambia mtu unampenda mwambie tu![]()
Bangi itazuiliwa tena![]()
Naipenda sana makapuku forum najihisi nipo nyumbani mwenyewenafanya ninachotaka na ninachopenda
Nitaenda thread ya nani kujinenea zangu kwa lugha kama ninavyofanya makapuku
Kumtaja babe wangu kama hivisi watanifukuza uko
![]()
Hahhahah Vinci nikinena kwa lugha huwa nakumbuka tu unavyoniambia shunie umeshaanza na kunena kwakoNena tu mkuu... Napenda tu unavyonena
nakupenda kinomaaa yan kinomaa ila sio kivile![]()



Asante sana Mgiriki
Hahhaha mbona sijawahi tumia hiyo kitu nahisi nikitumia nitachanganyikiwaBangi itazuiliwa tena
asante kwa asante ShunieAsante sana Mgiriki
Nena kwa lugha tu bibie uwezavyo maisha mafupi haya. Anayependwa nawe anainjoi sana. Jealous![]()




Vinci bwana
Bhangi hata ukiiona tu inakuathiri🤣Hahhaha mbona sijawahi tumia hiyo kitu nahisi nikitumia nitachanganyikiwa
Eeenhasante kwa asante Shunie
Hata kuiona kwa picha pia inaniathiriBhangi hata ukiiona tu inakuathiri![]()
Eeeh umtaraki mkuu LeeEeenh
Natakiwa nifanye nini eti