Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Hakuna namna ingineYaaaan mjomba akionaa hii sina pa kwenda ...kutoka baby sweetheart kipenzii kuporomokaaa mpaka mkuu
Hakuna namna ingineYaaaan mjomba akionaa hii sina pa kwenda ...kutoka baby sweetheart kipenzii kuporomokaaa mpaka mkuu
Wakina grace wamenifikishaa hapaMkuu tena![]()
TaratibuuuuuUkileta dharau moyo unakusahau.![]()
Yanaumizaaa lakiniiEeenh baba wawili jamani si ndio Max katutambulisha tuwe tunaitana hivi
Shangaaa na weweHahaha mjombaa atakuwa kayachanganya mwenyewe, huwa haumuit mkuu bwana![]()
Kama mimi hapaUkimpata mtu anakupenda na kukujali mshikilie yaani mshikiliesiku ukimwachia tu utajutia sana na kumkumbuka
Nina wivuu lakiniHata tukilala na njaaa nakuona mpya babe![]()
Mjombaa acha mambo yakoApia Shunie
WoooooooooiiiiiiiEeenh baba wawili halafu mwanaume baada akushikilie anakuachia.![]()
Tulikuambia, hukutaka kusikia mjombaaYaaaan mjomba akionaa hii sina pa kwenda ...kutoka baby sweetheart kipenzii kuporomokaaa mpaka mkuu


Sawa mkuu wa kaziHakuna namna ingine
Achaaa hizo mkuu huyu ni wangu wa mileleMimi kabisa huyu![]()