Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Ndio anavyosemaHivi ameacha kweli
Ndio anavyosemaHivi ameacha kweli
Hahah umesali kwanza?Eeenh baba wawili mwanaume lazima uwe na kitambi kidogo tu cha kupangusa
Asante sana binamu, kila la kheri hapo na chukua tahadhari ikiwepo kufuata maelezo wa watu afya..Mjomba Lee na binamu ningendako nawasalimia tu ndugu yenu hapa Kisimayu nimekuja kusalimia na nitarejea kabla hali ya corona haijakaa sawa.
Wadau wote wa jukwaa hili nawasalimia sana na my Telemundo anawasalimia pia
Hahahahaha....Ndio anavyosema
Tuko vzuri
...daku na kiporo.
Nakusalimia mdau, watu wanaweka mkeka tu baada ya mazoezi
Morning
Baby akeee leeNdio anavyosema
Hahahahatena sio mchezo,kazi kweli kweli
Safi tuu jamani Maka, habari za wewe eti jamaniMadame, vipi hali yako?
Safi tuu jamani Maka, habari za wewe eti jamani
Mimi sijambo kabisaa my dearSalama wa salmini bibie, hofu juu yako tu.
Mimi sijambo kabisaa my dear
Barikiwa sana jamaniHakika nafurahi kupata khabari kuwa hujambo mpendwa.