Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Basi tutaongeza watu hatutazidi 10 okonkwo wangunajisikia kuwa nae mtu mda wote jamani








Hivi na mimi nitapataga okonkwo kama wako jamani
Basi tutaongeza watu hatutazidi 10 okonkwo wangunajisikia kuwa nae mtu mda wote jamani








Hahhaa kwahiyo inawezekana leo kafika darSi ndo atakuwa amevuka boda dada
Kama alivyopotea sabosabo mdaka machozi wa auntie











Nimekiona wapi eti jamani...Eeenh cha ushkaji ni kwamba unajisahau hujawahi kukiona
Hivi na mimi nitapataga okonkwo kama wako jamani



Utapata tu yaani tumeachana hapo tulikuwa tunakula sijatamani jamani hata kumuacha ebu aniwowe tu kwakweliSijawahi kwenda congo ujueHahhaa kwahiyo inawezekana leo kafika dar
Hahhahha yaani vitu vingine humu jf kama movie jamani hivi kuna watu wapojeee
Yaaaniii nimecheka sana jamani
Ebu niache mieNimekiona wapi eti jamani...
Utapata tu yaani tumeachana hapo tulikuwa tunakula sijatamani jamani hata kumuacha ebu aniwowe tu kwakweli






Tamthilia dadaHahhahha yaani vitu vingine humu jf kama movie jamani hivi kuna watu wapojeee
Hahaha sasa tusemeje huyu mzee jana nilimwambia baki ukouko Congo kuna corona huku haya haonekani mpaka sasaSijawahi kwenda congo ujue
Sawa dadaEbu niache mie
Khaaaa sijampata jf mie huku kwa mapasua kichwa nimewaachia nyie huku sikuwezi hata
Ulimpata wapi eti jamani dada
We mzee wake Shunie hebu ukuje huku!! Ko umemmiss auuHahaha sasa tusemeje huyu mzee jana nilimwambia baki ukouko Congo kuna corona huku haya haonekani mpaka sasa
Zaidi ya tamthilia humu jf ni jumba bovuTamthilia dada
Nimemmiss jamani nimemiss vicheko vyakeWe mzee wake Shunie hebu ukuje huku!! Ko umemmiss auu
Mimi wa huku sitaki hata kuwaona kabisaa...Okonkwo wangu nitampata huko nje ya duniaKhaaaa sijampata jf mie huku kwa mapasua kichwa nimewaachia nyie huku sikuwezi hata
Ogoha duniaZaidi ya tamthilia humu jf ni jumba bovu
Kwakweli mimi mwenyewe sitaki hata kusikia yaani sitaki acha nipambane na okonkwo wangu wa ukoMimi wa huku sitaki hata kuwaona kabisaa...Okonkwo wangu nitampata huko nje ya dunia