Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Wewe naona unataka kuninyima kitu, hebu sema ukweli!Kweli sina cha kukunyima mkuu ntaanzaje sasa kumnyima mrembo Sakayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe naona unataka kuninyima kitu, hebu sema ukweli!Kweli sina cha kukunyima mkuu ntaanzaje sasa kumnyima mrembo Sakayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahah
Huo ujasiri sina kwa kweli hata mdogo wangu Depal anajuaWewe naona unataka kuninyima kitu, hebu sema ukweli!
Inabidi niamini tuu mimi jamani!!
Mi mzima wa afya rafiki yanguInabidi niamini tuu mimi jamani!!
Hujambo lakini
Tabia zingine hazivumiliki unavumilia weeh inafikia mwisho sasa unasema basi kila mtu aendelee na mambo zakeBinadamu tunatofautiana sana! Na hiyo ndo sababu ya kuitwa BINADAMU! Jitahidi kuishi na kila mmoja kulingana na tabia yake
EwaaaaaMi mzima wa afya rafiki yangu
Naendelea kujifukiza taratiibu na kuzingatia maelekezo
Tabia zinatofautiana! Tusitengane sababu ya tabia zetuTabia zingine hazivumiliki unavumilia weeh inafikia mwisho sasa unasema basi kila mtu aendelee na mambo zake
Nimeamka na leo nashinda humu tenaHahahahah
Ushaamka kivurugee wangu
HallelujahNimeamka na leo nashinda humu tena
Naachaje jana usiku nimekunywa na sasa hivi nimeamka nayo na kikohozi kimepunguaHallelujah
Usisahau kunywa maji ya malimao na tangawizi dear
MmhTabia zinatofautiana! Tusitengane sababu ya tabia zetu
Pole sana jamaniNaachaje jana usiku nimekunya na sasa hivi nimeamka nayo na kikohozi kimepungua