Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
WoooiiiiiMmh njaa ya kumkula si ndio
WoooiiiiiMmh njaa ya kumkula si ndio
Ndo anakuweza ujueHaahahah
Hahahahah...
Ahsante kapuku mwenzanguNawakumbusha kukaa ndaanii, nawa mikono yako mara kwa mara na maji tiririka
HaswaaaWengine huwa ni kwa ajili ya kutunyanyua tulipo kutuweka juu zaidi kimaendeleo
Hakika marafiki ni hazinaTambua nafasi ya kila mtu unayekutana naye!
Karibu tena jamani Mjep
Kweli sina cha kukunyima mkuu ntaanzaje sasa kumnyima mrembo SakayoHahahahah...
Unataka kuninyima nini eti jamani Mjep
Marafiki ni familia
Leo naona unamwaga madini tu mkuuUsimdharau mtu, wala usimchukie mtu! Hata yule anayekurudisha nyuma kimaendeleo! Yeye ndo chachu ya wewe kusonga mbele