Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Basi sawa jamani mzee ake mtu chakeNipo kwenye majaribio bwana
Basi sawa jamani mzee ake mtu chakeNipo kwenye majaribio bwana
Hapana jamani dada



Sasa mbona unanifata fata mimi sina habari na wewe
WoyooooooooooBasi sawa jamani mzee ake mtu chake
Sasa mbona unanifata fata mimi sina habari na wewe







@mtu chakeWoyoooooooooo
Ebu uko mfyuuuuuu
Fanya kunisamehe mimi jamani, nitaambia nini Wa Kenya



Utaambia tuuu unanichosha mimi nimeingia makapuku kuburudika sio mtu anivuruge yaani mimi ni chizi
Acha uchizi wakoUtaambia tuuu unanichosha mimi nimeingia makapuku kuburudika sio mtu anivuruge yaani mimi ni chizi
Aje amchukue mzee mwenzake
Nani tena huyo Shangazi ShunieNdio mana siku hizi jf imenikalia kushoto sana
Nimeingia zangu humu kujifurahisha naona mtu anataka kuniharibia siku endelea
Hebu tukalale jamaniNdio mana siku hizi jf imenikalia kushoto sana
Nimeingia zangu humu kujifurahisha naona mtu anataka kuniharibia siku endelea
Kuna nn tena Rafiki?Utaambia tuuu unanichosha mimi nimeingia makapuku kuburudika sio mtu anivuruge yaani mimi ni chizi
Kwahiyo unasikia raha mwenyewe unavyonivuruga eti
Naona kwa mitandao , watu full kujifukizaHuku kunatisha bwana
Sasa usinichokozeAcha uchizi wako