lizziebettie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 2,873
- 11,966
Hahahahaha kweli umemchoka, mi naona baada ya kuachana na Chris akang'ara zaidi.Mimi nafikir kwa sasa hayuko moto kama mwanzo kipind yupo na Brown ila sasa limebaki jina kiufup angekuwa Bongo angekuwa hana tofaut na dudubaya