briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Poa mama, naona Jimena kakuachia mikobaSwalamaa

Poa mama, naona Jimena kakuachia mikobaSwalamaa

Mimi pia!![]()
![]()
![]()
ila kiba kajaliwa sauti kiukweli namkubal Zaid ya Dimond
Ni kwel kabisa mkuuAli k ni fundi, na kwenye hicho kipande ndo ameonyesha uwezo zaid
Hahahaha
Aaah mkuu wewe tujibakie football
Huko, tutakuwa kama mbunge yule
basi sawa mkuuOooh vzur ElizabethMimi pia!

Yaan,nimegusa penyewe![]()
Lizziebettie
Mkuu mi nimesikiliza album zote za rihanna sijaona kama anarudia-rudia... sana sana naona ana sauti flani ya kipekee na kila track anayotoa inakua hitsong, ila hyo work ni kweli inataka kufanana melody kidogo na rude boyOkei, ila nyimbo zake ziko kama anarudia rudia za zamani hivi, kwa mfano hiyo work, ni mpya ila ktk masikio yangu naifananisha na track yake moja hivi alikuwa ktk video amevaa kama vazi la pundamilia/ chui hivi.
Naona baadhi ya nyimbo zake anamiks zake za zamani na kupata mpya! Ila anajitahidi.
Umenishangaza tu![]()
![]()
yaani nini
Lete habariMida hii ndio unapima wa abroad na wa hapahapa bongo Sie wamajuu kwetu mchana
habari ni njema mkuu nimefurahika kukuonaLete habari
Mimi chio ntu?yani had rahaaaaaaa jujwaa zima nipo peke yangu
Ali kiba ni fundi kama messi ila diamond ana juhudi kama ronaldo... Ndo tofauti zao![]()
![]()
![]()
ila kiba kajaliwa sauti kiukweli namkubal Zaid ya Dimond