Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kaanza kucheza lini messi na ronaldo kaanza kucheza la liga lini??
Alafu unajua licha ya miaka ya karibuni barca kuchukua ndoo sana ya la liga, ndo kwanza wako 24, real madrid wako 32. Maana yake barca ni katimu ka siku hizi!
P.S: mimi messi namkubali pia.
We jamaa uko vzuri kwa kweli

Japo uko arsenal, kweli wenger mashabiki kama nyie hawatendei haki
 
Kaanza kucheza lini messi na ronaldo kaanza kucheza la liga lini??
Alafu unajua licha ya miaka ya karibuni barca kuchukua ndoo sana ya la liga, ndo kwanza wako 24, real madrid wako 32. Maana yake barca ni katimu ka siku hizi!
P.S: mimi messi namkubali pia.
Barcelona ulaya ndio klabu inayoongoza kwa kuchukua jumla yote ya makombe mengi huku Arae8 hata top 5 haipo
 
Lililo dhaniwa kuwa bomu pale OT

Ilikuwa ni kifaa cha mazoezi

Skynews wametoa taarifa haoa

 
  • Thanks
Reactions: PNC
Barcelona ulaya ndio klabu inayoongoza kwa kuchukua jumla yote ya makombe mengi huku Arae8 hata top 5 haipo
Yote kivipi?? Ktk msimu mmoja au??
Hiyo yote haiwezi ikuta LA DECIMA, ktk clubs, hamna mafanikio kama hayo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom