Makapuku Forum

Makapuku Forum

A spectacular DRACULA, mng'ataji huyo Suarez, mcheki meno!
alafu nasikia CR7 msimu wa tano mfululizo huu katupia 50+ goals, je ni kweli?? Jamaa anatisha, au wasemaje PNC 1?? Jamaa ni shida, yaani misimu 5 ana angalau 250 goals, na ni all time top scorer wa UCL, dah!
CR7 take a bow son from PNC 1.
jifunze kitu picha ya chini halafu niambie nani anatisha
1463346482453.jpg
 
Kumbukumbu za juzi tu zinaonyesha barca alipigwa WIKI on aggregate na The Bavarians, whiping boyz wa ulaya hao siku hizi.
Barcelona alipigwa wiki on Aggregate
kumbe kumfunga Barcelona Zaid ya 5 lazma ujumlishe mechi 2 VIP nyie mlikula 8 mechi 1 nikijumlisha mechi mbili si zitafika 15+
 
Nahisi utakuwa wapenda Music na sitoshangaa kama Chris Brown au jay z na beyonce wakiawa mojawapo ya wasanii unaowazimia
 
Barcelona alipigwa wiki on Aggregate
kumbe kumfunga Barcelona Zaid ya 5 lazma ujumlishe mechi 2 VIP nyie mlikula 8 mechi 1 nikijumlisha mechi mbili si zitafika 15+
Eb waache hao wameshika nafas ya pili EPL

Uwe mwangalifu
 
  • Thanks
Reactions: PNC
jifunze kitu picha ya chini halafu niambie nani anatishaView attachment 348001


Kaanza kucheza lini messi na ronaldo kaanza kucheza la liga lini??
Alafu unajua licha ya miaka ya karibuni barca kuchukua ndoo sana ya la liga, ndo kwanza wako 24, real madrid wako 32. Maana yake barca ni katimu ka siku hizi!
P.S: mimi messi namkubali pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom