Nitasoma nikituliaNdio nimeoteshwa hapa naandika
Vipi tayal wameshalifanyia kazi ombi lako?Nilimweka korokoroni kwa kosa la kuninyima kuwa family friend wao!
Mjombaa huyu huyu, mbona na yeye alikuwa anakutafuta hapaMjomba ako alinibadilishia nywila baba wawili ili nisiingie humu
Binamu namba ngap unacheza uwanjan?Kwema sana binamu na asante kunijulia hali. Naamini ulikuwa na weekend nzuri.
Mimihaikuwa mbaya sana ukiachana na kuumia mguu wakati nacheza game la maveterani
.....kuoa wake wawili ni makosa kisheria. Nakukumbusha tu.
Usijesema sijakuambia maana hili ni jambo muhimu ukiamua kuoa hakikisha hawajuani. Legends ningendako na mkwepu jr wanajua nasema nini



sawa sawa binamu, akiwa tayali tutamptia somoAminNi ngumu sana kuishi na mtu mwenye tabia ya kiburi kila siku mtakuwa mnagombana sababu ya kiburi chake na kujiona kwake
Kama umeshaambiwa na watu wako wa karibu una tabia hizi jitahidi kubadilika kiburi sio kizuri
Ni hao nitakapooneshwa tena maono ya kuongelea kitu kingine
Baba wawili huyoBinamu namba ngap unacheza uwanjan?

Eeenh bwana baba wawili huyohuyoMjombaa huyu huyu, mbona na yeye alikuwa anakutafuta hapa
