Hawezi kukumbuka jinsi nilivyomuokoa kwenye ule msala.......anko, njia unayotumia kumfikia Hellena utakuwa huifikii ujue.
Umesahau uluvyookolewa na binamu ningendako ulipofumaniwa na kile kibinti cha fomutuu
I miss you mtt mlito
Miss u too baba wawiliI miss you mtt mlito


naona hatimaye umeachiwa nywilaMiss u too baba wawilinaona hatimaye umeachiwa nywila
mtt mrito
mimi mbona nipo shunie, wewe ndio ulikuwa umetekwa, umesababisha tukose magazet ya mjombaa
mtt mrito
mimi mbona nipo shunie, wewe ndio ulikuwa umetekwa, umesababisha tukose magazet ya mjombaa


Mjomba ako alinibadilishia nywila baba wawili ili nisiingie humuNilimweka korokoroni kwa kosa la kuninyima kuwa family friend wao!I miss you mtt mlito
Namtafuta Husna!![]()
Kwema sana binamu na asante kunijulia hali. Naamini ulikuwa na weekend nzuri.Hawezi kukumbuka jinsi nilivyomuokoa kwenye ule msala..
Kwema binamu?
Nikiwa mkubwa na mimi nitaoa wake wawili kama wewe apo!....yupo, hajambo kabisa. Simu yake nimeipeleka kwa fundi ..
Una Jipya!?



Nikiwa mkubwa na mimi nitaoa wake wawili kama wewe apo!![]()