Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Naam mtt mlito...uzima upo hapo?Baba wawili huyo![]()
Naam mtt mlito...uzima upo hapo?Baba wawili huyo![]()
Uzima upo hivyohivyo baba wawili kikubwa uhaiNaam mtt mlito...uzima upo hapo?
nakuamini sana ila kwa hili, bado na wasiwasi nalo,utakuja kumua yule mzeeHivi umeanza lini kutoniamini baba wawili



Uzima kwanza shunie, mengine maajaliwa tuUzima upo hivyohivyo baba wawili kikubwa uhai
nakuamini sana ila kwa hili, bado na wasiwasi nalo,utakuja kumua yule mzee
No magazeti, no comedy..mjombaa kwisha habar yake



Mjomba ako bwana acha ninyamaze tu baba wawili akija nisalimie
EwaaaaahUzima kwanza shunie, mengine maajaliwa tu
Binamu namba ngap unacheza uwanjan?



Binamu Mjeruman, hujawahi shindwa kitu binamu...binamu, mbona umeuliza kana kwamba una mashaka na statement yangu kuwa nimeumia mguu kwenye mechi za maveteran?!! Umenipa mawazo mabaya sana, najiuliza nashindwa kuelewa sababu ya wewe kunidoubt kwamba sichezagi mpira.
Kifupi kabisa, mimi nacheza kama kiungo, wakati nimefika mjini nilikuwa na jezi yangu ya Ujerumani kwa hiyo nikawa naitwa mjerumani, uliza Tabata shule, niliwahi kupiga shuti kali hadi likaenda kuingia kituo cha polisi.
Baadaye nikahamia hapa Mtwara sasa, nilipiga soka kubwa sana, nikapewa jina Essien, na kuzawadiwa mashamba ya korosho, yaani wananchi walikuwa wanakusanyana kuja kulimia mikorosho ili tu nicheze tiimu ya Masasi Starz.
Sasa nimekuwa mtu mzima, nacheza ili kupata appetite ya bia na supu na kupunguza kitambi
Nadhani nimekuelewesha vya kutosha.
ila umeniuliza kimashakamashaka sana, nitapenda uniombe radhi maana nafikiria umeungana na anko Lee kutaka kunizushia kashfa ambayo ninaitarajia kutoka kwenu.
na ninawaambia mashabiki wangu wa soka kuwa wapuuze aina yoyote ya taarifa kutoka kwenu.
Ninaandika mengi sababu ninajihami, a game knows a game



Hahaha. Bado unapiga mistari na wewe. Nilijua ushaoaa kabisaa...hao wanawake, sasa nakupa na utafiti wa wanaume. Wanaume asilimia 80 tunatongoza na swali kubwa ni kama una credit nzuri na huna mikopo mikubwa. Ikishidikana basi wanaishia kuishi pamoja, cohabiting tu
Hahaha. Bado unapiga mistari na wewe. Nilijua ushaoaa kabisaa
Shikamoo mujombaaaa .....ukioa hukatazwi kutongoza. Ni necha
Karibu sana mdau, umepotea utasema umekimbia na hela za korosho.
Great to see you
ChiefHahaha. Bado unapiga mistari na wewe. Nilijua ushaoaa kabisaa
Umemaliza kudeka? Baharia kudeka ni aibu ya mwaka!Good morning fam