Makapuku Forum

Tulikubaliana sawa ila nan wa kwanza kuvunja makubaliano

...hata kama, ungetulia unadhani kuna mtu angejua? Unaona binamu ningendako kajituliza anasingizia hana simu kumbe katekwa visiwa vya Madagascar.

Makubaliano tuyaboreshe ili ukiharibu nami niharibu. halafu anko, Mariam biriani kahamia wapi? Kakataa kuniambia alikohamia kwa kuwa wewe ndo umemuhamisha
 
Mjombaaa achana nae anachokitafutaa atakipataa ankoo ....ila yule mmadagascar yuko vzurii haswaaaaaaaa mpaka nilikuonaa nyendooo zakooo....

Mariam nilimkutaa banana nyuma ya airwingz anakanmbiaa sasa hivi sio level zakoo
 
Apumzike kwa amani..Amen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binamu ulikuwa peke yako?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…