Tulikubaliana sawa ila nan wa kwanza kuvunja makubaliano
Mjombaaa achana nae anachokitafutaa atakipataa ankoo ....ila yule mmadagascar yuko vzurii haswaaaaaaaa mpaka nilikuonaa nyendooo zakooo.......hata kama, ungetulia unadhani kuna mtu angejua? Unaona binamu ningendako kajituliza anasingizia hana simu kumbe katekwa visiwa vya Madagascar.
Makubaliano tuyaboreshe ili ukiharibu nami niharibu. halafu anko, Mariam biriani kahamia wapi? Kakataa kuniambia alikohamia kwa kuwa wewe ndo umemuhamisha
Apumzike kwa amani..AmenKwa wapenzi wa muziki wa Country, mwezi huu umekuwa mgumu na wenye majeraha makubwa kwanza kwa kuondokewa na nguli Kenny Rogers, mkali wa Luccile na The Gambler ukiacha nyingine nzuri nyimbo na alikuwa mkali wa gitaa.
mwingine ndo kwanza kabla halijatitia naye kafariki kwa changamoto ya corona iliyosababishwa na complication nyingine. Anaitwa Joe Diffie mkali wa Honky Tonk attitude- Honky tonk ni bar ambazo zinakuwa na muziki ndani yake, kwa hapa bongo tungesema ni sehemu ambazo tunapata muziki wa bakulutu, kwa wakazi wa Shinyanga mjini mnanielewa nasema nini.
Nimependa tu nikuburudishe na muziki wa mkali huyu ambaye si wengi tunamjua kivile
Yupo we mtafute tu kama no yake unayo mpigie au mtext kawaidaTulipeana ila hayuko online, au kabadili.
Binamu ulikuwa peke yako?....majanga tu na nilikua kwenye karantini siruhusiwi kushika simu nitasambaza korona. Madr wengine cheche sana yaani eti hata text nisitume ila naruhusiwa kupiga chafya?
karantini nilienda baada tu ya kulipwa hela kidogo ya korosho, nilikuwa Kempusinki ya Kilimanjaro hotel. Karantini oyeeeeeeeee
Yupo we mtafute tu kama no yake unayo mpigie au mtext kawaida
Leo sijamisiwaaaaaYupo we mtafute tu kama no yake unayo mpigie au mtext kawaida
Binamu ulikuwa peke yako?