Salama ndugu yangu, vipi hali?
Acha nikupende tuKuna kizuri chenye uzuri wa kushare ila sio huyu mrembo wangu




Nani anabisha kwaniKeshoo kifuaniii nadekezwaa huku nawashushiaaa nondooooo...mtaombaa poooooo
Mjombaaa niongezeeee vibeeee au panatoshaaaa...angalia amepiga saa ngap alafu nikikufundishaa mapenz kusikilizana na kubembelezana unalialiaaView attachment 1380079




Kama amekupigia Shuny, ongeza vibe tu, huyo sie hatumtambui
Sie tunamjua Shunnie na sio Shuny huyo sijui ni mchina?



Niwachie baby wangu
Ukimuita hvyo mwenzio anatembea kifua mbele kama kapigwa ngumi ya mgongo..
Usirudie kumuita tena hvyo.





Makopa yasave kwa mtoto mlito shuny ningendako hivi nimepatia hiyo shuny eeh?
Sent using Jamii Forums mobile app
huyu Shuny hatumtambui sie, labda ni mpya,, mjombaa wangu yupo vizuri a.k.a nyumba nyingi
ila shunie wetu sidhani Kama anajua Kuna shunny..au wasemaje mjomba ake lee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili halitambui,ngoja aje hapa, atamuwashia moto sio wa kitoto![]()
Haya tumsubiri bibie..atakaposema anamjua sura zetu tutaziweka wapi sisi
Sent using Jamii Forums mobile app





Hahaha binamu.......anko, hiyo 47k alisahau kunitumia ya kutolea lakini nakushukuru uliniassist vilivyo.
Halafu hizi mambo nilijua utafanya kama tulivyokubaliana. Au binamu ningendako kakuchukiza kwa alivyokuzunguka kwa lile toto shombe la kichaga?
Woooooooiiiiiiiiiiiiiiiiiiii wacha tupendaneeeeeeeeeAcha nikupende tu![]()
Wabaya wetu...Nani anabisha kwani
Jana kilichokupataa poleeeHahaha binamu..
Habari ya uzima binamu? Kwema nyumbani?





Mjomba sio anko lakini
Kwema kamanda.