Makapuku Forum

Makapuku Forum

Na we tatizo unawasikiliza sana wamarekani wako siku moja moja wasikilize na wabongo baba wawili

Hahahaha shunie bwana, mimi nasikiliza nyimbo zote, hadi kwaya kasoro singeli tu hizo siwez sikiliza hata kidogo...

Ila hizi za kibongo nasikiliza pia, na vile hyo siku niwe nimeamka na mood gani tu
 
Hahahaha shunie bwana, mimi nasikiliza nyimbo zote, hadi kwaya kasoro singeli tu hizo siwez sikiliza hata kidogo...

Ila hizi za kibongo nasikiliza pia, na vile hyo siku niwe nimeamka na mood gani tu
Ndio nimekuwekea sasa maana naona maswali yalizidi baba wawili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom