Makapuku Forum

Makapuku Forum

Jtatu ya mwezi March mambo matatu matatu na hainizuii kukutakia siku na wiki Njema.

Wikend yangu ilikuwa njema sana, asante kwa kutouliza, nilikuwa na my Telemundo tumeenjoy sana, atawaambia akijisikia.

Wengine wote nataka kusema jambo moja kubwa, Ninyi ni Sababu Jukwaa hili ni zuri kuwepo.

Asubuhi njema, nnaenda mahakamani
 
Jtatu ya mwezi March mambo matatu matatu na hainizuii kukutakia siku na wiki Njema.

Wikend yangu ilikuwa njema sana, asante kwa kutouliza, nilikuwa na my Telemundo tumeenjoy sana, atawaambia akijisikia.

Wengine wote nataka kusema jambo moja kubwa, Ninyi ni Sababu Jukwaa hili ni zuri kuwepo.

Asubuhi njema, nnaenda mahakamani
Mpendwaaaa.... yaaani mahakamani ndio umependeza hivyo?!

Kuna wanawake kule ujue

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom