Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
BabyMbona huu mwandiko wa ndg yangu sakayo![]()
....nataka kuweka makopakopa, anayejua anifundishe
Blue MondayKumekucha swalamaaaaa....tuwe na mwanzo mwema wa wiki na mwezi ...
Khaaa...!!! Kumbe anaitwa chura!Hahaha kaka chura mie nyuzi zote zenye comments mob nazifahamu aki
Karma
...akifa sio kitu atakuwa amekufa na upakoAende kwa mwamposa anakanyaga mafuta anasukumwa na watu anakufwa
Mpendwaaaa.... yaaani mahakamani ndio umependeza hivyo?!Jtatu ya mwezi March mambo matatu matatu na hainizuii kukutakia siku na wiki Njema.
Wikend yangu ilikuwa njema sana, asante kwa kutouliza, nilikuwa na my Telemundo tumeenjoy sana, atawaambia akijisikia.
Wengine wote nataka kusema jambo moja kubwa, Ninyi ni Sababu Jukwaa hili ni zuri kuwepo.
Asubuhi njema, nnaenda mahakamani
Baadae ukipata muda uweke ule wimbo African stars "wanatwanga pepeta" unaoitwa "jirani"....wageni nawasalimia na ninawauliza Je Kuna Jipya?