ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Mwenyewe huwa hasemi hivi, sijui inakuijia na udhamini mnono, maelezo mengi hadi tunachoka wasomaji...Je wajua inakujia kwa udhamini mnono wa pedesheeee lee mme na kipenzi cha Shunie wenye wivu wakiongozwa na mjomba mtajinyongaa niko kifuaniiii hapa napewa nachostahili.....
wakati tayali ameshajibu, unamfundisha, mjomba hajui hata ratiba ya je wajua
![]()





nishasema nitakurogaaa
Wewe huyooo
Sitaki umdhalilishe mdogo wangu!taratibuuuuu
Weeeeee kweli basi nabisha tena nabishaa kabisa haiwezekani muwe wote...Ungebisha tungekutumia na picha

tuma picha niamini
Mwenyewe huwa hasemi hivi, sijui inakuijia na udhamini mnono, maelezo mengi hadi tunachoka wasomaji...
Hii tumeikataaa, anza upya tena,bila kuanza upya tunajua hii je wajua ni fake tu







ya leo ni comedy!Wanakapukus hii Je Wajua ya leo mnaielewa kweli?



Nini wewe
Kuna watu wakiona hii post lazima watoke mafichoni


kina Nani haoo
Mjombaa mbona kama mm n wewe sio ukoo mmojaaa...baby shunie kaendaaa jikoniiiiiWanakapukus hii Je Wajua ya leo mnaielewa kweli?