Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Ungekuwepo ungechangamkia fursaKupotea kwangu naona kunaenda kuniponza sasa,hii nafasi sikutakiwa kuikosa![]()
Yangekuwa yepi?!mimi na wewe mjomba, hatuwezi ingiliane tunamipaka yetu, angekuwa ndugu yetu binamu, yangekuwa mengine hapa
Ukimroga ataenda kwa mwamposa anakanyaga mafuta anaponaMjombaaa ntakurogaaa
Husna nasubiria bomu lingine kutoka kwako!



Akijibu nitagNini wewe ...mzee wa chura mmefikishana wapi Behaviourist
Wow!!! Hebu shusha mtu mikono hapo kwa mathawe utalipa mwisho wa mweziiii@obe wa husna

Anatak akimbie majukum etiHahahahahahaha wakati wwe ndo unategemewa kupewa ukuu wa ukoo
Hahaha mimi mtoto mzuri nipo mda mwingi napatikana huku makapuku mpenzi
Toto tundu unapafahamu hadi huku?!![]()
Ni wewe tu jirani,ni bora kula na jirani kuliko kioze,, si kweli jirani?

Mh kuumbe!!Ukizingatiaa bado unanitaka na mm nimejituliza kwa mtoto mlito
Mbona huu mwandiko wa ndg yangu sakayoHahaha kaka chura mie nyuzi zote zenye comments mob nazifahamu aki
Karma
