Makapuku Forum

Makapuku Forum

Chochote utakachoandika kwangu mimi ni cha maana sana lazima kipate like yangu.alamsiki[emoji23][emoji23][emoji23]
mkwepu jr [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimemsoma Da'Vinci sehemu kakuweka kwenye ignore list sababu ya kumpa likes tu hata mambo ya kijinga akiandika wewe unampa likes hataki hizo mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chochote utakachoandika kwangu mimi ni cha maana sana lazima kipate like yangu.alamsiki[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wouzeeerrr [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Hatimaye nimekutoa mafichoni jamani [emoji847][emoji847] nilikua nikusikie tu na kweli umeongea Mungu azidi kukuweka tu mkwepu nakupenda mie mzee wa likes [emoji8][emoji8][emoji8]
 
Kuku nimenasa kwenye tenga sina pupa mm niwako

Ungejua sisemi silali kwako vile sihemi wewe ni kiboko yangu [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Sinaga mwingine baba, nyongo mkalia INI
Shida yangu kukuona mzima baba njaa sio tatizo

Kama shida tumezoea sana baba tangu enzi hizo [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Ongeza mapenzi sitakuja kukumwaga baba eehh

[emoji2997][emoji2997][emoji2997][emoji2997][emoji2997][emoji2997][emoji2997]
Hahahaha, asee
 
Back
Top Bottom