Na wewe piaMuwe na siku njema
Na kwako pia moudMuwe na siku njema


Chochote utakachoandika kwangu mimi ni cha maana sana lazima kipate like yangu.alamsiki
Sent using Jamii Forums mobile app





Wouzeeerrr 




nilikua nikusikie tu na kweli umeongea Mungu azidi kukuweka tu mkwepu nakupenda mie mzee wa likes 


Nahusika sana hapa
Kuku nimenasa kwenye tenga sina pupa mm niwako
Ungejua sisemi silali kwako vile sihemi wewe ni kiboko yangu![]()
Sinaga mwingine baba, nyongo mkalia INI
Shida yangu kukuona mzima baba njaa sio tatizo
Kama shida tumezoea sana baba tangu enzi hizo![]()
Hahahaha, aseeOngeza mapenzi sitakuja kukumwaga baba eehh
![]()
We mzee vipi tena jamaniHahahaha, asee
Nakusalimiaa sanaWe mzee vipi tena jamani
Kumbe sio roboti 🤣🤣🤣🤣Chochote utakachoandika kwangu mimi ni cha maana sana lazima kipate like yangu.alamsiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Doh!
🙆♀️Tobaaa..Watakuja kutuua nayo hao waliochukua siku moja
Usijali.. nitaongeza mpaka mwisho wa dahari..Ongeza mapenzi sitakuja kukumwaga baba eehh
![]()