Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Hahahahahahahahahahah apooo wachaaa niendelee kujipitishaaaEbu fanya basi kunilipi zotenimewekewa wifi sijui ndio anilinde yaani
Hahahahahahahahahahah apooo wachaaa niendelee kujipitishaaaEbu fanya basi kunilipi zotenimewekewa wifi sijui ndio anilinde yaani
Ebu ongeza kidogo hyo volyumu inaonekana ni tamu sana...ninakupenda binamu na Heri ya 2020, maisha lazima yasonge. Unanielewa au niongeze volyumu?


Pole mtoto mlitoAsante sana baba wawili yaani nilikua napika huwa nikimaliza kupika nafunga gas kule kwenye mtungi nimeinama hivi nifunge naona chini ya jiko moto unawaka nilitaka kukimbia kwanza nikasema ebu ngoja nifunge gas kufunga gas moto ukawa unajizima taratibu sasa mpaka ukaisha
He he ndio vileHahahahahahahahahahah apooo wachaaa niendelee kujipitishaaa
Asante mama mpandishwa cheoPole mtoto mlito
WeweeeeeEbu ongeza kidogo hyo volyumu inaonekana ni tamu sana![]()
Badooo nawazaaa hapaa sijapataa jibuHe he ndio vile
Kuhusu nini tenaBadooo nawazaaa hapaa sijapataa jibu
Na kwako piaaa binamuHappy furahiday wadau
Ndio hivyo ila kawaida tu nimeshajizoelea na ninaona vizuri tu maana nilikuwa mwenyewe tunaelewana na tumezoeanawifi
Mke anauma asikuambie mtu