Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Salama kabisa ...Hamjambo humu
MTC | 101|![]()
Salama kabisa ...Hamjambo humu
MTC | 101|![]()
Sipo hata mfano wa niniNi mfano lakini au leo nijipitishe ?
Leo story tu hivi kwa nini unapenda kubadili I'd hiviUnbelievable facts..
Leo katika historia
Magazeti
Hakuna....Sio poa
Dstv na AzamSalama kabisa ...


yaani ikifikiaga hivi halafu nimefulia kama hivi nakukumbukaje sitaki ucheke sitaki kusemwa. 

A man has many names...Leo story tu hivi kwa nini unapenda kubadili I'd hivi
Sio mambo ya ufundi bwana mwenyewe ameelewaNgoja nikupe namba ya John sins yupo hapo Mawasiliano anajua sana ufundi wa majiki
HayaA man has many names...
Pole mtoto mlito, Mungu ni mwema kwa kweliDstv na Azamyaani ikifikiaga hivi halafu nimefulia kama hivi nakukumbukaje sitaki ucheke sitaki kusemwa.
![]()
Halafu jana bado kidogo jiko lilinipukie naogopa hata kupika au kumwambia mdada apike nimetoka kumwita fundi hapa
Asante sana baba wawili yaani nilikua napika huwa nikimaliza kupika nafunga gas kule kwenye mtungi nimeinama hivi nifunge naona chini ya jiko moto unawaka nilitaka kukimbia kwanza nikasema ebu ngoja nifunge gas kufunga gas moto ukawa unajizima taratibu sasa mpaka ukaishaPole mtoto mlito, Mungu ni mwema kwa kweli
Hapana bwanaOoh.. nilijua plumber au fundi jiko nikuletee injinia john sins
Aisee pole sana, hii mitungi ya gas ni kuwa nayo makini sana, mazoea hayatakiwi kabsa muda wowote hali inabadirika ni mabomu yale!!Asante sana baba wawili yaani nilikua napika huwa nikimaliza kupika nafunga gas kule kwenye mtungi nimeinama hivi nifunge naona chini ya jiko moto unawaka nilitaka kukimbia kwanza nikasema ebu ngoja nifunge gas kufunga gas moto ukawa unajizima taratibu sasa mpaka ukaisha
Asante mno baba wawili ni kweli kabisa umakini unahitajika mnoooAisee pole sana, hii mitungi ya gas ni kuwa nayo makini sana, mazoea hayatakiwi kabsa muda wowote hali inabadirika ni mabomu yale!!
Dstv na Azamyaani ikifikiaga hivi halafu nimefulia kama hivi nakukumbukaje sitaki ucheke sitaki kusemwa.
![]()
Halafu jana bado kidogo jiko lilinipukie naogopa hata kupika au kumwambia mdada apike nimetoka kumwita fundi hapa








mwenyewe nimemis hayo majukum madogomadogo



Ebu fanya basi kunilipi zotemwenyewe nimemis hayo majukum madogomadogo
Usinambiee sku hiz hutak kujisumbua kuosha vyombo umemletaa msaidizi wa 3![]()

nimewekewa wifi sijui ndio anilinde yaani