Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Ipi kwani kuna ipi si hii tunayoisomaIpiii?
Ipi kwani kuna ipi si hii tunayoisomaIpiii?
Kweli dada, Moyo unaumaa



Dada unauma kwa nini eti nipo na ubuyu apa ungekuwepo dar ungekuja kuchukua sema zimebaki pakti chache kazini wamezigombania mpaka nimebeba ubuyu zanguUmeanza lini uchoyo jamani babe!Dada unauma kwa nini eti nipo na ubuyu apa ungekuwepo dar ungekuja kuchukua sema zimebaki pakti chache kazini wamezigombania mpaka nimebeba ubuyu zangu
Hahhahah halafu kwanza wewe si haupendagi unaendaga kula na babe wako zimebaki pakti 2 tu ngoja za awamu nyingine zikija nitakuwekea babeUmeanza lini uchoyo jamani babe!
Naomba ubuyu wangu unitunzie, nakuja mjini mimi...
Moyo unauma tuu jamani, yaani unaumaa
Hahhaha kwahiyo ni uwongo etiAcheni uvivu![]()
Hatujambo moud habari yakoHamjambo humu
Off ndioo!
Hahahaha,kimya kimya
Sijazifungua ila acha nijichekee tu
Salaaam moudSalaam Shunie
Eti eeenhIla kiukweli Congo DR wametuzidi uvivu
Salaaam moud
Eti eeenh